Habari
Matukio
-
The ICAC's 83rd Plenary Meeting
17th Nov 2025Malaika Beach Resort, Mwanza - Tanzania -
UZINDUZI WA MSIMU WA UNUNUZI WA PAMBA 2024-2025
08th May 2024Kishapu, Shinyanga
Matangazo
-
Jun 06, 2025
JOB OPPORTUNITY ADVERTISEMENT : AGRICULTURAL OF...
-
Feb 20, 2025
JOB OPPORTUNITY ADVERTISEMENT: COTTON TEXTILE C...
Habari
Imewekwa:: Feb, 23 2023

WAKULIMA WA PAMBA WAONGEZE BIDII UTUNZAJI MASHAMBA
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba,Ndg. Marco Mtunga amewataka Wakulima wa pamba nchini kuendelea kutilia mkazo na kuongeza bidii katika utunzaji wa mashamba ya pamba ili kujiongezea tija wakati wa mavuno ambayo yatawanufaisha kiuchumi na kuliingizia Taifa kipato.