Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Gerald Mweli alipotembelea katika banda la Bodi ya Pamba Tanzania wakati wa maonesho ya Wakulima Nanenane 2026 Dodoma
Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo (MB) akiwa katika banda la Bodi ya Pamba Tanzania wakati wa maonesho ya Wakulima "Nanenane" 2026 yaliyofanyika jijini Dodoma
MSIMU MPYA 2026-2027
Siku ya Wanawake Dunia 2026
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde (kulia) akipata maelezo kuhusu madaraja ya ubora wa pamba kutoka kwa wataalam wa usanifu katika maabara ya ubora wa pamba ya Bodi ya Pamba iliyopo mjini Shinyanga.