Habari

SERIKALI YATANGAZA BEI DIRA YA PAMBA MSIMU WA 2024/2025 KUWA TZS 1150/=

Msimu wa ununuzi wa pamba 2024/2025 umezinduliwa rasmi tarehe 8 Mei 2024 ... Soma zaidi

Imewekwa: May 14, 2024

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO KWA WADAU WA PAMBA

Mkutano wa 17 wa wadau wa tasnia ya pamba ... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 03, 2024

BAJETI 2023-24 NA VIPAUMBELE SEKTA NDOGO YA PAMBA

1.Wizara kupitia Bodi ya Pamba Tanzania katika mwaka 2023/2024 kwa kushirikiana na Chama cha Wazalishaji wa Pamba Tanzania (Tanzania Cotton Association - TCA) itanunua trekta 100 kwa ajili ya kuanzisha vituo vya kutoa huduma kwa wakulima... Soma zaidi

Imewekwa: May 18, 2023

​MSIMU WA PAMBA WAZINDULIWA BEI ELEKEZI IKITANGAZWA KUWA 1060/=

​MSIMU WA PAMBA WAZINDULIWA BEI ELEKEZI IKITANGAZWA KUWA 1060/= Katika uzinduzi huo mgeni rasmi alitangaza bei elekezi ya pamba mbegu kwa msimu wa 2023/24 kuwa ni Shilingi 1060/=.i... Soma zaidi

Imewekwa: May 05, 2023

BODI YA WAKURUGENZI TCB WATEMBELEA WAKULIMA WA PAMBA

Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti ya Bodi ya Pamba Tanzania chini ya Makamu Mwenyekiti wake Aggrey Mwanri ambaye pia ni Balozi wa zao ilo nchini wametembelea mashamba ya pamba na kukutana na wakulima katika wilaya za Bariadi, Busega, Itilima, Meatu na Maswa mkoa wa Simiyu... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 09, 2023

WAKULIMA WA PAMBA WAONGEZE BIDII UTUNZAJI MASHAMBA

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba,Ndg. Marco Mtunga amewataka Wakulima wa pamba nchini kuendelea kutilia mkazo na kuongeza bidii katika utunzaji wa mashamba ya pamba ili kujiongezea tija wakati wa mavuno ambayo yatawanufaisha kiuchumi na kuliingizia Taifa kipato.... Soma zaidi

Imewekwa: Feb 23, 2023