Habari

WAKULIMA WA PAMBA WAITIKIA VIPIMO VIPYA UPANDAJI PAMBA
WAKULIMA WA PAMBA WAITIKIA VIPIMO VIPYA UPANDAJI PAMBA Uzalishaji wa zao la Pamba Nchini umeongezeka na kuleta tija kwa wakulima baada ya kutumia Vipimo vipya vya upandaji pamba vya sentimeta 60 Kwa 30 ambapo awali walitumia sentimeta 90 kwa 40 ... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 03, 2022

WAKULIMA WA PAMBA WAJIANDAA NA MSIMU MPYA WA KILIMO 2022-2023
Ili kuweza kuendana vema na kalenda ya kilimo wakulima wa Pamba wametakiwa kuandaa mashamba mapema kabla ya msimu wa kupanda... Soma zaidi
Imewekwa: Oct 19, 2022

MAADHIMISHO YA SIKU YA PAMBA DUNIANI OKTOBA 7
Siku ya Pamba Duniani ni Maadhimisho kuonyesha Pamba kama zao muhimu duniani na Fursa zilizopo kupitia pamba pamoja na mchango wake chanya na wa kudumu kwa jamii mbalimbali.... Soma zaidi
Imewekwa: Oct 06, 2022

BALOZI WA PAMBA AWAFIKIA NA KUWAPA ELIMU WAKULIMA WA CHEMBA DODOMA
Mwanri amesema kuwa Mabadiliko hayo ya vipimo yatawezakumuongezea mkulima idadi ya miche kutoka 22, 222 ya awali alipokuwa anatumia vipimo vya sentimeta 90 kwa sentimeta 40 hadi kufikia miche 444,4444... Soma zaidi
Imewekwa: Sep 22, 2022

WAKULIMA TULIME PAMBA KWA VIWANGO 30/60
WAKULIMA TULIME PAMBA KWA VIWANGO 30/60 Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe. Onesmo Buswelu amesema hayo tarehe 2 Julai,2022 wilayani Tanganyika Mkoani Katavi wakati akifunga hafla fupi ya Siku ya Shambani “Field Day “ iliyowakutanisha wakulima pamoja na wataalam wa kilimo kutoka maeneo... Soma zaidi
Imewekwa: Jul 03, 2022

MSIMU WA UNUNUZI WA PAMBA WAZINDULIWA HUKU BEI IKIPAA KWA 48%
Pamba ni zao la kimkakati nchini lakini vilevile ni zao mama linalowainua kiuchumi wakulima wengi wa kanda ya ziwa, hilo limedhihirishwa wakati wa uzinduzi wa msimu wa ununuzi wa pamba 2022-2023 ... Soma zaidi
Imewekwa: May 20, 2022