Habari
.png)
BAJETI 2023-24 NA VIPAUMBELE SEKTA NDOGO YA PAMBA
1.Wizara kupitia Bodi ya Pamba Tanzania katika mwaka 2023/2024 kwa kushirikiana na Chama cha Wazalishaji wa Pamba Tanzania (Tanzania Cotton Association - TCA) itanunua trekta 100 kwa ajili ya kuanzisha vituo vya kutoa huduma kwa wakulima... Soma zaidi
Imewekwa: May 18, 2023
MSIMU WA PAMBA WAZINDULIWA BEI ELEKEZI IKITANGAZWA KUWA 1060/=
MSIMU WA PAMBA WAZINDULIWA BEI ELEKEZI IKITANGAZWA KUWA 1060/= Katika uzinduzi huo mgeni rasmi alitangaza bei elekezi ya pamba mbegu kwa msimu wa 2023/24 kuwa ni Shilingi 1060/=.i... Soma zaidi
Imewekwa: May 05, 2023

BODI YA WAKURUGENZI TCB WATEMBELEA WAKULIMA WA PAMBA
Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti ya Bodi ya Pamba Tanzania chini ya Makamu Mwenyekiti wake Aggrey Mwanri ambaye pia ni Balozi wa zao ilo nchini wametembelea mashamba ya pamba na kukutana na wakulima katika wilaya za Bariadi, Busega, Itilima, Meatu na Maswa mkoa wa Simiyu... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 09, 2023

WAKULIMA WA PAMBA WAONGEZE BIDII UTUNZAJI MASHAMBA
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba,Ndg. Marco Mtunga amewataka Wakulima wa pamba nchini kuendelea kutilia mkazo na kuongeza bidii katika utunzaji wa mashamba ya pamba ili kujiongezea tija wakati wa mavuno ambayo yatawanufaisha kiuchumi na kuliingizia Taifa kipato.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 23, 2023

WAKULIMA WA PAMBA WAITIKIA VIPIMO VIPYA UPANDAJI PAMBA
WAKULIMA WA PAMBA WAITIKIA VIPIMO VIPYA UPANDAJI PAMBA Uzalishaji wa zao la Pamba Nchini umeongezeka na kuleta tija kwa wakulima baada ya kutumia Vipimo vipya vya upandaji pamba vya sentimeta 60 Kwa 30 ambapo awali walitumia sentimeta 90 kwa 40 ... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 03, 2022

WAKULIMA WA PAMBA WAJIANDAA NA MSIMU MPYA WA KILIMO 2022-2023
Ili kuweza kuendana vema na kalenda ya kilimo wakulima wa Pamba wametakiwa kuandaa mashamba mapema kabla ya msimu wa kupanda... Soma zaidi
Imewekwa: Oct 19, 2022