Habari

MSIMU WA UNUNUZI WA PAMBA 2025/2026 WAZINDULIWA UZINGATIAJI WA UBORA WA PAMBA UKIPEWA KIPAUMBELE
Msimu wa ununuzi wa pamba nchini kwa mwaka 2025/2026 umezinduliwa rasmi tarehe 2 Mei 2025 katika Mtaa wa Mwakibuga, Wilaya ya Bariadi, Mkoa wa Simiyu. Sherehe hii ya uzinduzi ilihudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Kenani Laban Kihongosi,... Soma zaidi
Imewekwa: May 02, 2025
.jpg)
MADIWANI WAAZIMIA KUKOMESHA UCHAFUZI PAMBA KITALU CHA MBEGU
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora ambao sehemu kubwa iliundwa na wajumbe wa kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Sauda Mtondoo, imefanya ziara katika baadhi ya viwanda vya kuchambua pamba... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 22, 2025

TEKNOLOJIA YA NDEGE NYUKI KUDHIBITI VISUMBUFU VYA ZAO LA PAMBA
Teknolojia za Kilimo cha Pamba zinazosambazwa na Serikali kupitia Bodi ya Pamba Tanzania (TCB), zimelenga kuongeza tija ya uzalishaji wa Pamba ili wakulima waweze kujikwamua kiuchumi na Taifa liongeze kipato kupitia fedha za kigeni.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 21, 2025

SERIKALI YATANGAZA BEI DIRA YA PAMBA MSIMU WA 2024/2025 KUWA TZS 1150/=
Msimu wa ununuzi wa pamba 2024/2025 umezinduliwa rasmi tarehe 8 Mei 2024 ... Soma zaidi
Imewekwa: May 14, 2024

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO KWA WADAU WA PAMBA
Mkutano wa 17 wa wadau wa tasnia ya pamba ... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 03, 2024
.png)
BAJETI 2023-24 NA VIPAUMBELE SEKTA NDOGO YA PAMBA
1.Wizara kupitia Bodi ya Pamba Tanzania katika mwaka 2023/2024 kwa kushirikiana na Chama cha Wazalishaji wa Pamba Tanzania (Tanzania Cotton Association - TCA) itanunua trekta 100 kwa ajili ya kuanzisha vituo vya kutoa huduma kwa wakulima... Soma zaidi
Imewekwa: May 18, 2023