MKUTANO WA 83 WA ICAC NOVEMBA 17 - 20, MWANZA TANZANIA
Wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathimini wa Bodi ya Pamba wakiwa katika mkutano wa 4 wa mwaka wa wadau wa masuala ya Ufuatiliaji, Tathimini na Kujifunza unaofanyika jijini Mwanza 10-14 Septemba 2025
Waziri wa KIlimo Mhe. Hussein Bashe (MB) akikabidhi mbolea hai ya zao la pamba kwa mkulima wa kijiji cha Mbutu wilaya ya Igunga
Wadau wakiwa katika banda la maonesho ya Nanenane Dodoma