Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde (kulia) akipata maelezo kuhusu madaraja ya ubora wa pamba kutoka kwa wataalam wa usanifu katika maabara ya ubora wa pamba ya Bodi ya Pamba iliyopo mjini Shinyanga.
MSIMU MPYA WA KILIMO CHA PAMBA 2025/2026
KIKAO CHA KWANZA CHA WAZIRI WA KILIMO MHE. DANIEL CHONGOLO (Mb) NA WAKUU WA BODI ZA MAZAO
.
Wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathimini wa Bodi ya Pamba wakiwa katika mkutano wa 4 wa mwaka wa wadau wa masuala ya Ufuatiliaji, Tathimini na Kujifunza unaofanyika jijini Mwanza 10-14 Septemba 2025
Wadau wakiwa katika banda la maonesho ya Nanenane Dodoma