Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Bodi ya Pamba Tanzania

PEMBEJEO ZA KILIMO

Imewekwa: 26 August, 2025
PEMBEJEO ZA KILIMO

Tunatoa Pembejeo za Kilimo kwa Wakulima wa Pamba.

Huduma hii hutolewa kwa wakulima wa wa zao la pamba. Pembejeo zinazotolewa ni mbegu za pamba, viuadudu, vinyunyizi na mbolea hai