Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Bodi ya Pamba Tanzania

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea

Imewekwa: 14 July, 2022
Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea

Tume inatarajia kuhuisha Daftari la Wapiga Kura mapema iwezekanavyo ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi mkuu wa 2025.

Katika maandalizi hayo, Tume itaandikisha wapiga kura wapya, wanaoboresha taarifa zao, waliopoteza vitambulisho na kufuta wasio na sifa.