Omba Leseni: Kuchambua Pamba
Omba Leseni: Kuchambua Pamba
- Mwombaji wa Leseni lazima awe na kiwanda chake mwenyewe au cha kukodi.
- Kiwanda kinachoombewa Leseni lazima kiwe kimekaguliwa na kupasishwa na Mkaguzi wa Viwanda kutoka Bodi ya Pamba
- Mwombaji wa Leseni lazima awe Mwanachama wa Mamlaka ya Pamba Tanzania (TCA).
- Mwombaji wa Leseni ana wajibu wa kumtaarifu Mkaguzi wa Viwanda wa Bodi ya Pamba kuhusu uhitaji wa ukaguzi wa kiwanda husika.
- Mwombaji wa Lesni lazima azingatie sheria, kanuni na taratibu zingine zote zinazosimamia uendeshaji wa kiwanda.